Monday, September 7, 2009


Masai vichwa

vimetengenezwa na mti aina ya mpingo(ebony),na hutengenezwa kwa mikono na vifaa rahisi!

Hapa kwetu uchongaji wa aina hii ya vinyago mara nyingi hufanywa na makabila ya pwani ya kusini ya Tanzania

Tutembelee leo ujionee!

No comments:

Post a Comment